Dege la mizigo Boeing 707 likiwa limevamia makazi ya watu karibu na jiji la Tehran, mhandisi mmoja wa dege kati ya wenzake 15 amepona (Picha nimeitoa BBC).
Tafadhari jitahidi kupata muda mrefu wa kupumzika na hasa kulala, achana na msongo wa mawazo kwani ukiacha kupata na tatizo la sonona basi kwa wanawake lipo tatizo kubwa jingine. Utapoteza uwezo wa kusikia sauti za wanaume (men's voices) ambazo mara nyingi huwa na mkito wa chini (low frequency)
Usidhani najitungia haya, nilikuwa sina kazi nikaamua kusomasoma ndo nimekutana na nyuzi hii nakuwekea link