Makapuku Forum

Tafadhari jitahidi kupata muda mrefu wa kupumzika na hasa kulala, achana na msongo wa mawazo kwani ukiacha kupata na tatizo la sonona basi kwa wanawake lipo tatizo kubwa jingine. Utapoteza uwezo wa kusikia sauti za wanaume (men's voices) ambazo mara nyingi huwa na mkito wa chini (low frequency)

Usidhani najitungia haya, nilikuwa sina kazi nikaamua kusomasoma ndo nimekutana na nyuzi hii nakuwekea link

Rare medical condition leaves woman unable to hear men's voices
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…