Kumbe mnafahamiana??haha binamu kiboko ObeJaman jaman we nae si mkewe?tena akupenda sana hajakwambia Kama kapokea au la!mhh obe jaman
Sent using Jamii Forums mobile app
Live ndugu yangu, maisha ni mpito tu
Mungu ndiyo kila kitu
Namuona katulia hapo mgongoniSasa hivi nipo huru kabisa baba wawili tena mnyama mwenyewe pogba
Anaanzaje baba wawili
Sawaaaaaaaa
Umeona eeeh shangazi na aheshimiwe
Woyoooooooo
Hahahaha sikuwa nafahamu jirani,,naona aman ipo lknjirani ulikuwa haujui kumbe?
Mbona tuliitwa tutambuane kabisa hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani kuna malaika mwingine zaidi yako humu!?.. Itakua haukua online nikamwambia akutafute!.. Unajua tena mtandao unavyosumbua sometimes!..Jana wewe si umeniacha mbele yake umesema upo single akutafutie malaika