Makapuku Forum

Makapuku Forum

bd2c93b295a36b8274c3a195fee0be56.jpg

Rudi kafute vizuri
Haijatoka

..........
Terms and condition
 
Unaalika binti date halafu anakuja
na maringo,ety oooh!,"...babe hata
ctakula nikitoka home nilipitia TILAPIA HOTEL
nikala kuku..."

We na ugentleman wako unamnunulia
whiskey ya Jack Daniel 50000' baada ya binti wa watu kunywa mafundo kazaa anatapika makande na mahindi ya kuchoma walai,,,sa
hapo ndio inabidi umuulize romantically"...swry!uko sure ulikula
kuku au ulikula chakula cha kuku?.
Chakula ya kuku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom