...ha hahahahahaa, dah, koroshow nimeipenda hiyo, wale wakongo itabidi wajiandae sana, itabidi kwa namna ulivyoikalisha kamati ya kunisaidia kuaminika kwa baby Mary basi mcheza shoo wa Koffi anayekata mauno sana na ana shanga nyeupe anakustahili
Burudika na muziki huu ambao aunt yangu Shunie kataka uchezwe usiku huu na kama mnavyojua, mimi huwa nakuwa wa mwisho kujua masuala mbalimbali na hivyo nakuwekea uburudike muda huu. na ujue nini wewe mdau wa Jukwaa hili ningendako , Numbisa , Tumosa , marybaby , Lyon Lee , muafi , Slim5 , Behaviourist , Mtoto halali na hela , Mndali ndanyelakakomu , KingY , moneytalk na wewe ambaye sijakutaja, huwa mnanipa sababu ya kuja hapa maana jukwaa hili ni sehemu nzuri kuwepo sababu wewe upo. Alhamis njema