....itabidi niwalaumu tu hakuna namna, maneno ya kiinglishi yananikondesha na huwezi kujua kesho itakuwaje, leo nakonda tu kwa kuongeleshwa kiinglishi na ras Simba.
...hivi haiwezekani mkanipeleka kwa mwalimu wa lugha ya Congo, huko anaweza kujua mambo mengi, halafu kilingala nakihitaji kwa sasa, nikiuza korosho nataka kuwa pedeshee na wakiwa wananiimba marapa wa Mashujaa band nataka niwe nawaelewa