Aisee shunie,,,hl neno la kiswahl ulilotumia hapa "kumbarasa"imebd ncheke mwenyew hapa
Kwamba ukambarasa,,,
hili neno limekaa kisharishari kwel
Yaan km vile mtu anakuchokoza hlf unakuwa unamtizama tu,,siku hasira zkpanda ukimkamata ndio inakuwa hyo kumbarasa