Makapuku Forum

Makapuku Forum

Acha binamu awe wa mwisho,,kasema yy huwa hatak kufundsha mtu


...aksante, yaani mimi napenda tunakutana wote tunajua tunafanya nini, yaani hata kusaula unatoa moja moja, unaikunja sio purukupuruku mkimaliza mnaanza kutafuta soksi ilitupwa wapi, boksa chini ya uvungu naye sidiria iko juu ya feni
 
...aksante, yaani mimi napenda tunakutana wote tunajua tunafanya nini, yaani hata kusaula unatoa moja moja, unaikunja sio purukupuruku mkimaliza mnaanza kutafuta soksi ilitupwa wapi, boksa chini ya uvungu naye sidiria iko juu ya feni
Hyo sindiri kuwa juu ya feni dah,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom