Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,567
Naona unaitikia kinyonge ha ha haaa tupo wengi ujue tunaosemwaSawasawa
Naona unaitikia kinyonge ha ha haaa tupo wengi ujue tunaosemwaSawasawa
Sio bure huyo itakuwa ya saba hyo,maana alisema zikifika tisa anaweza zimaanti zake wanashida hapa

Kwani na wewe hauna mbebez mangaNaona unaitikia kinyonge ha ha haaa tupo wengi ujue tunaosemwa
Wangu sijadownload labda kaka ningendakoHao watoto wenu wa kudownload siwataki mm
Tukianguka nakuwa nimemwangukia nainuka nabebwa tena jamaan kuwa na mbebez kibonge ni kipaji namtafutia tuzo yake siku nimpe

WeeeehWangu sijadownload labda kaka ningendako
@Tumosa jibu hili swali basi nipate faidaUnapendaga style gani kwenye kukulana
Ukumbuke unavyowaleta hizo picha usave tumosa alituletea siku ya kwanza katuletea mara ya pili picha tofauti na za mwanzontawaleta siku moja
Na ww ni miongoni mwa wanaosemwaNaona unaitikia kinyonge ha ha haaa tupo wengi ujue tunaosemwa

Nafurahi ukifurahiKhaaaaa hivi nilikukataa mm jamani nafurahi kusikia upo poa manga mm mzima sana na nimefurahi sana kukuona
Hahahaha kwa nn nataka kukuomba hela auNafurahi ukifurahi
Ila furahaa hi leo sio bure
Weeeeh
Wadanganye wasiokujua watoto wako wa insta kila siku unatuletea tofauti hapa
leo wa kike kesho wa kiumeTukianguka nakuwa nimemwangukia nainuka nabebwa tena jamaan kuwa na mbebez kibonge ni kipaji namtafutia tuzo yake siku nimpe








weka kale gif ka hauzimi,,,maana huko uliko mambo ni fire