Marhaba ,,,naacha vp kuzpenda sasa,,,weekend vpHahahha shikamoo ninge kumbe unazipenda
Hahhahha ndiwooo sio kwa watoto hao wa insta
Hehe kwahiyo niendelee kuamkia halafu siku hizi nimekuwaje mvivu kutoa shikamooMarhaba ,,,naacha vp kuzpenda sasa,,,weekend vp
Hahhahha ndiwooo sio kwa watoto hao wa insta



shauri yako,,,acha nitengeneze timu mmHata mm nakushangaa sana,,,unaona tumelingana kiumri eehHehe kwahiyo niendelee kuamkia halafu siku hizi nimekuwaje mvivu kutoa shikamoo
Ninge kumbe na wewe una watoto wa insta kama tumosa yaani watoto wa kuchorwa

Ni mke mwenzangu ndiooHapo kwenye rangi unamaanisha nini Tumosa?! NI kwamba mke mwenzako, au?! We dada Shunie, unao wangapi humu? Mi kama binamu yako naumia nikiona wapo wengi bhana...! Mimi nimemwa-approve Wick tu hata kama hana hela manake ndie pekee anayeweza kumtoa nduki Malcom Lumumba kwenye huu mtaa!
