Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,307
Kwa afya njema ya kinywa chako, unashauriwa kupiga mswaki mara mbili kwa siku. Wakati unafanya hivyo, usiwe na haraka. Chukua muda wa kutosha kusugua meno yako yote kwa ukamilifu huku ukihakikisha kila kinachopaswa kuondolewa kimefikiwa.
Kulingana na umri, mazingira au hali ya afya, unashauriwa kutumia mswaki sahihi utakaokufaa pamoja na dawa ya meno iliyo na madini ya floridi. Mswaki mzuri ni ule ambao visafishio vyake havikuumizi na unaokaa vizuri kinywan
Watoto wapewe mswaki unaofanana na umri wao ili kufanikisha hili. Wale wadogo wasimamiwe ili kuzingatia namna ya upigaji na kuepuka kutomeza dawa ya meno ambayo haipaswi kumezwa.
Kanuni ya tatu ni kujizoeza njia nzuri za kupiga mswaki. Unapaswa kuushika mswaki wako kwa namna ambayo visafishio (brashi) vyake vitalenga kwenye makutano ya meno na ufizi.
Kulingana na umri, mazingira au hali ya afya, unashauriwa kutumia mswaki sahihi utakaokufaa pamoja na dawa ya meno iliyo na madini ya floridi. Mswaki mzuri ni ule ambao visafishio vyake havikuumizi na unaokaa vizuri kinywan
Watoto wapewe mswaki unaofanana na umri wao ili kufanikisha hili. Wale wadogo wasimamiwe ili kuzingatia namna ya upigaji na kuepuka kutomeza dawa ya meno ambayo haipaswi kumezwa.
Kanuni ya tatu ni kujizoeza njia nzuri za kupiga mswaki. Unapaswa kuushika mswaki wako kwa namna ambayo visafishio (brashi) vyake vitalenga kwenye makutano ya meno na ufizi.