Mimi au wewe ndo ulifungishwa...oh, anko bhinamu asante sana kwa namba hii. Sasa roho na moyo wangu vimetulia. BTW, nimefurahi kukuona tena hapa, tulikumiss sana, hasa mimi, wengine kama walikumiss watasema nisiwasemee ila anko wangu Lyon Lee kabatika kufungishwa ndoa ya mkeka na binti wa maalimu wakati wewe haupo, nisimsemee atasema mwenyewe kama akipenda. Ndoa ilifungwa kule ujiji, ilikuwa ghafla
Anko pokea salam kutoka tuinuane gest and barHeh, imekuwa akili zangu tena anko, me nilijua ni akili za ukoo, nimerithi upande wa mama ambaye ni dada yako kabisa
Lakin somo tulifundishwaa wotee,...wewe tena, lazima hili somo ulielewa kikamilifu maana nakumbuka aunt yangu alikuja kumwambia wifi yake wakati amejifungua kuwa ulikuwa unarudi mchana kunyonya maziwa eti kuondoa uchovu. kama familia isingekukalisha chini hakyamungu ungembemenda mtoto wako, sio kwa sababu hiyo
...kweli ni spesho, wewe sio wa kunipa namba ya dawati la jinsia kwamba nimetelekeza mtoto au nimefanya domestic violence. Kweli wewe ni wa kunifanyia hivi, tena jumapili
Hajapigaa kapigiwa anatakiwaa aendee alitelekezaa mtotojaman jaman mimi huyuhuyu nikupe namba za dawati la jinsia aisee basi umekosea mwenyewe kuandika
Umepigiwa na umepewa siku 2 ufikee acha kumsingiziaa kipenda rohoo ...nilikwambia mapema hizi ziara zako za fiesta mwaka jana zitaletaa matundaaa ......kweli ni spesho, wewe sio wa kunipa namba ya dawati la jinsia kwamba nimetelekeza mtoto au nimefanya domestic violence. Kweli wewe ni wa kunifanyia hivi, tena jumapili
Hajapigaa kapigiwa anatakiwaa aendee alitelekezaa mtoto
Ndio asikusumbue ...kumbe katelekeza mtoto
Duh asantee kwa taarifaNdio asikusumbue ...
Hupatikan kuna mtu wako alikuwa anashida ya kukusumbuaDuh asantee kwa taarifa
Mmmm nani huyooHupatikan kuna mtu wako alikuwa anashida ya kukusumbua
Mpendaa vitaaMmmm nani huyoo