Jana nilitaka nikupigieee tuongeee bahati mbaya mata akanikatia kifurushi na sanchezAcha kabisa umaliziaji wa man u binamu acha man u iitwe man u bana
Mourniho aendelee kubaki tumeghaili kidogo
Sweetie,Guys mpo?? Duuuh loong time sana, nimemuona mkongwe mwenzangu...baby Makaveli 10 [emoji7]
Ewaaaaah tupe mamboJe wajua inakujia hivi punde na shunie shunie
China kibokoo
Pumbavuuu zao
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Km tukutane kwa shayo vile Mzee mwenzangu!Baadae ukitoka kanisani
Hahahahah ndo maana wanasemaga mpenziii chocolate mwendo wa kojooooooooo
Lisemwalo lipo,kama halipo laja..Klabu ya Man Utd imesema taarifa kuwa mkufunzi wa klabu hiyo, Jose Mourinho atafukuzwa ni upuuzi.
Karibuni kumekuwa na shikizo kwa mkufunzi huyo kuondoka, kutokana na matokeo mabaya, pia kile kinachodaiwa kutokuwepo kwa uhusiano mzuri na baadhi ya wachezaji.View attachment 889139
Watuletee Ngolo kante wetuu
Haina tatizo Mzee mwenzangu km kawa kwa ShayoKm tukutane kwa shayo vile Mzee mwenzangu!
Wacuteee wajinga