Daah ndugu Pombe atatuua kwa viu...maan akufikia muda huu itakuwa superior ya kiu...Please H.E Pombe allow Pombe fungia Chura kama pilato alivyofanya makaratee akamtoa Yesu kumwacha Baraba akila bata uraiani!
Hahahaa basi nimeacha mkuu
Heshima kwako president bitoz bila kumsahau vice president jimena na prime minister th name heshima kwenu wakuu
Bila kuwasahau makapuku wote humu heshima kwenu