Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Kwani yuko hapa?Mtake radhi baba wawili wangu

Huwa anachungulia humu mbona,mtake radhi ataikuta siku akipitaKwani yuko hapa?
Wewe sema tuu kama kuna kupichafu ukuta leo?![]()

Mimi huyu? Nipo sana mkuu sema tu tunapishana pishana. JF ni bahari...napenda sana the way unaishi humu jamvini yani upo lakini huonekani
habari za siku nyingi?



Tuendelee...Huwa anachungulia humu mbona,mtake radhi ataikuta siku akipita![]()
![]()
![]()
KakaMimi huyu? Nipo sana mkuu sema tu tunapishana pishana. JF ni bahari...
Natumaini hujambo pia. TUMSHUKURU MUNGU![]()


Nipo bro tena poa kabisa. Nakuona unajaribu kumuwashia injini Tumosa. Bahati mbaya amekuwa ngangariKaka
Salamu zakoo![]()



MfyuuuuuuuTuendelee...
Hivi ulisema unapenda staili gani ya alaji..
Alajiii x 2
Alaajiii x 2
Alaajii x 2...




Mfuuyuuu... mwenyeweMfyuuuuuuu


MarhabaaaaaShikamoni wakubwa
Mungu anamuona TNakuona unakwepa mishale...![]()
Hana shida wala...


Na ww mfyuuuuMfuuyuuu... mwenyewe
Ila watu wa mbeya bhanaa! Mambo ya kutenda dhambi mmesimama kama mkuki mnapenda sana![]()
