Makapuku Forum

...ushaingizwa kingi tayari, mjomba wangu wewe vitu vya asili huwa hupendi kuvipoteza kabisa yaani hata ukiwa nao kama mswati vile
Weee niachwe na ABJ niwe mgeni w nani kwa taarifa kwa mambo yale ya kuhesabishana shanga huyu ndo fundi ..mauno anayakata mpaka cheus mangala wako haingii ndan (ulinisimuliaa kuhusu cheusi) ...
 
Reactions: Obe
Anko binamu mbona unaletaa fyokofyokooo mda huu au kisa jana cheusi wako asha alikutwa na jamaa wako wa mtaa wa pili

...mimi alipofumaniwa nilifurahi sana, maana ni kama mchezaji unamtoa kwa mkopo. Alienda kupata ujuzi na kuuleta nyumbani.
Me sio wewe, ulimfumania yule mzenji mara 7 tu ukaamua kumuacha.
 
Reactions: Lee
...acha tu anko, haya maisha kama yangekuwa yanauzwa ningemuuzia hata makaveli10 anipe hela.

Nimechiwa kwa kuachika anko, hii dunia kumbe kubwa sana aisee.

Ujue wewe ni mtaalamu wa kupata ukikosa baharini hata kwenye tope unamvua kambale
Mzee mwenzangu ungeniwekea bond tuu!!
 
...mimi alipofumaniwa nilifurahi sana, maana ni kama mchezaji unamtoa kwa mkopo. Alienda kupata ujuzi na kuuleta nyumbani.
Me sio wewe, ulimfumania yule mzenji mara 7 tu ukaamua kumuacha.
Mzenji wa zaman sana alafu mm nimeamuaa kutuliaa kama hujui
 
...sijamfukuza bhana, alipata bwana mwingine mi nikadhani kaenda kwa mkopo kumbe alisaini mkopo wa moja kwa moja. huwa anarudirudi kukumbushia tulipoachia.

Niko na BH tuko beach
Kama mm yaliyonikumbaa wengine wanachoka na tabia zako wnasepa mazima
 
Reactions: Obe
Weee niachwe na ABJ niwe mgeni w nani kwa taarifa kwa mambo yale ya kuhesabishana shanga huyu ndo fundi ..mauno anayakata mpaka cheus mangala wako haingii ndan (ulinisimuliaa kuhusu cheusi) ...


...aisee, sasa kwenye hii point ndo inabidi niongee naye sasa, kizuri kula na ndugu yako bibi alituasa, kibaya sumu kula mwenyewe tupate msiba tule rambirambi.
 
Uzur nshampa taarifa zako ...alafu mbona siku hiz unaninyim simu yako ?
 
Reactions: Obe
...sijamfukuza bhana, alipata bwana mwingine mi nikadhani kaenda kwa mkopo kumbe alisaini mkopo wa moja kwa moja. huwa anarudirudi kukumbushia tulipoachia.

Niko na BH tuko beach
Nae yuko wapi!?
 
Reactions: Obe

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…