Makapuku Forum

Makapuku Forum

...wewe una kile kinywaji ambacho kirungu mpweke anapenda


Kila siku naskia shule za english medium, hivi hakuna za maximum nikupeleke ili sentesi yako uiweke katik maximum kienglish tuelewane wawili tuu
 
  • Thanks
Reactions: Obe


Kila siku naskia shule za english medium, hivi hakuna za maximum nikupeleke ili sentesi yako uiweke katik maximum kienglish tuelewane wawili tuu

....mimi nimesoma chuo na shule za vidudu tu enzi hizo basi, mambo haya ya medium sijui low au maximum nimeyaonea zilipoingia simu za kijanja
 
....mimi nimesoma chuo na shule za vidudu tu enzi hizo basi, mambo haya ya medium sijui low au maximum nimeyaonea zilipoingia simu za kijanja
Hata mimi nilisoma enzi za simu jinga, kabla haya masimu janja yao kuja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom