Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Kweli kaka.Mungu ni mwema Kila wakati
Karibu tena kijiweni
Kweli kaka.Mungu ni mwema Kila wakati
Asante. NimekaribiaKweli kaka.
Karibu tena kijiweni
Hahahahaha picha za

Ni njema sana braza, niaje?Habari ya jioni wakuu.
Hivi hakunaga sheria inayolinda kutuma picha bila ridhaa ya mwenye picha?Hivi maua kama haya hapa naweza kuyapata wapi?![]()
Hahahaha.
Salama kabisa kaka.Ni njema sana braza, niaje?
Ningemjibu chora kwenye karatasi
Hayo maua nayatamani niwe nayo.Mkuu kwani wewe hujayaona hapo pembeni!
Kwani mchungaji wewe ni mwanasheria.?Hivi hakunaga sheria inayolinda kutuma picha bila ridhaa ya mwenye picha?
Binafsi spendi kurusha picha ya mtu bila ridhaa yake
cc bitoz
Youngblood
Kapuku for ever.Brother mimi nitabaki kuwa KAPUKU hata nikae hapa Jf miaka mia moja