Shikamoo binamu,pole na mambo yoteMuziki: Zamani Kidogo Jana
Sio zmani sana lakini, kilikuwa ni kipindi kama jana tu wakati huwa kwa sisi wa mikoani na mawilayani tukienda kuangalia video (sio sinema) kwenye kumbi za CCM, shuleni, maghala ya ushirika au kumbi za harusi ambazo nyingi zilikuwa chini ya wakatoriki. So kwa wengine sie tulishangaa misalaba na picha za Yesu mzungu. Anyway si lengo langu kuandika niliyoandika bila kukusalimia wewe Kapuku tunayeheshimiana. U khali gani? Mimi sijambo na asante kwa kutouliza, maisha yanasonga.
Muziki sasa, ni muda mzuri wa kukumbuka zamani, kipindi LY inasifika si kidogo mikoani, ukiwa darasa la saba (standard seven) unajiita LY na mwalimu anakufundisha kuwa msafi na kukufuatilia kwa ukaribu maana ndo wengine tulianza kupevuka, ndoto nyevu na oh, nilisahau, likizo ya kuingia LY ndo unapelekwa kijijini kutahiriwa ili uruhusiwe kwenda kuoga ziwani na kushangaashangaa shanga za wadada waliokuwa nao wakija kuoga ziwani. Nimetokea ziwani na nimekumbuka leo nikaona nikuburudishe na muziki mzuri
Nauona unakoleaaaa[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tunaheshima jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nakuja babe wanguUnasema hv hlf hauji!
Unaenda NAZO. Ila unazima zoteHivi fungate huendi na sim,au pc ya movie
Hakuna jambo jema unalotakiwa kulifanya kama kushukuru, sio kwa mazuri hta kwa mabaya inabidi ushukuru maana yanakufundisha usisahau siku nyingine.
Asante Shunie kwa kutuamsha kwa sala, asante mtu chake kwa mapicha ya DRC, Tumosa kwa kuchangamsha wote na zaidi asante wewe ambaye upo hapa jukwaani.
Kuna jipya?
@Shunie nimekumissHauzimiiiiiiiiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Muziki: Zamani Kidogo Jana
Sio zmani sana lakini, kilikuwa ni kipindi kama jana tu wakati huwa kwa sisi wa mikoani na mawilayani tukienda kuangalia video (sio sinema) kwenye kumbi za CCM, shuleni, maghala ya ushirika au kumbi za harusi ambazo nyingi zilikuwa chini ya wakatoriki. So kwa wengine sie tulishangaa misalaba na picha za Yesu mzungu. Anyway si lengo langu kuandika niliyoandika bila kukusalimia wewe Kapuku tunayeheshimiana. U khali gani? Mimi sijambo na asante kwa kutouliza, maisha yanasonga.
Muziki sasa, ni muda mzuri wa kukumbuka zamani, kipindi LY inasifika si kidogo mikoani, ukiwa darasa la saba (standard seven) unajiita LY na mwalimu anakufundisha kuwa msafi na kukufuatilia kwa ukaribu maana ndo wengine tulianza kupevuka, ndoto nyevu na oh, nilisahau, likizo ya kuingia LY ndo unapelekwa kijijini kutahiriwa ili uruhusiwe kwenda kuoga ziwani na kushangaashangaa shanga za wadada waliokuwa nao wakija kuoga ziwani. Nimetokea ziwani na nimekumbuka leo nikaona nikuburudishe na muziki mzuri
Salama shikamoo mkuuHabari ya usiku huu makapuku wenzangu
@Tumosa huku kwangu baridi sanaHabari ya usiku huu makapuku wenzangu
@Shunie nimekumiss
Kwahiyo tumosa ndio blanket@Tumosa huku kwangu baridi sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wouzerrrrrrrrr [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Umeuwasha shunie. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wouzeeeeeeeerrrrrrrr umewaka mkushi [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Umeuwasha shunie. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]