Makapuku Forum

Rais wa Marekani Donald Trump na wa Urusi
Vladmir Putin muda mchache ujao watakutana kwa
mazungumzo, mjini Helsinki, ambao ni mkutano
wao wa kwanza kabisa kuwakutanisha pamoja.
 
Didier Deschamps asema ushindi wa Ufaransa ni
miujiza.
Ubingwa wa Ufaransa ni wa ''kutoka kwa mungu''
baada ya "uchungu" wa kupoteza fainali ya mataifa
bora Ulaya 2016, alisema kocha wake Didier
Deschamps.
 
Kipa wa Chelsea raia wa Ubelgiji Thibaut Courtois
anasema mkataba aliopewa na the Blues ni "tofuati
kuliko mwingine ninaoweza kupata" kwingine.
Mchezjai huyo amehusishwana uhamisho kwenda
Real Madrid. (Mirror)
 
Amen
 
Courtois anasema mchezaji mwenzake wa Chelsea
Eden Hazard: "Ninako kwenda, Hazard lazima
anifuate." Hazard, wa miaka 27, pia amehusishwa
na uhamisho kwenda Real Madrid. (Evening
Standard)
 
Mlinzi wa England Luke Shaw, wa miaka 23, yupo
tayari kuondoka Manchester United kama ajenti wa
bure iwapo hatothibitishwa kuwa chaguo la kwanza
la Jose Mourinhokiungo cha beki kushoto msimu
huu. (Manchester Evening News)
 
Everton wana hamu ya kumsajili mchezaji wa
kiungo cha kati wa Espanyol David Lopez. Mchezaji
huyo wa miaka 28 pia analengwa na Valencia na
Real Betis. (Mundo Deportivo)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…