Nimecheka mpaka nimepaliwa mm nakuhakikishia tu anafika final
We muache...
England atakuwa mshindi wa 4
Eti ni kweli? Kuwa mdomo unafika kwenye masikioJamani
Jana nilikuwa na mambo mengi...
Asubuhi ndio nimeemtafuta kumpa polee
Hahahah si kweli jamaniEti ni kweli? Kuwa mdomo unafika kwenye masikio
Yameisha ila mlitoka
Ndio utulie sasa mama D...Tulitoka jamani
Ndio utulie sasa mama D...
Manake England wanatoka pia..
Hapa wanapiga dance hits tuu..
Nshamuonaaa kitambooooEbu tafutaneni basi mnitumie picha
Sawa shemela, tuanze nusu fainaliShemela nimebet na T kanipa mahela kwa mara ya kwanza jf nabet napewa hela nikishinda wananikimbiaga na hamu ya kubet na wewe
Hapa wanapiga dance hits tuu..
Kama dj wako unapiga charanga ujue tuko territory tofauti kabisaa
Si umwiteNshamuonaaa kitamboooo
Kitu assurance amaaa niniHapa wanapiga dance hits tuu..
Kama dj wako unapiga charanga ujue tuko territory tofauti kabisaa
Nimefurahi tu shemelaHe he mniache jamani
Sawa shemela wangu uonekane sasa mana ukipotea jukwaani unapoteaSawa shemela, tuanze nusu fainali