Makapuku Forum

Makapuku Forum

...mjomba, nikisema mimi kuwa ni uongo wakati ni kweli alikuita kaka nitaonekana nawafitinisha sasa mimi nakuacha uamini ulichosikia. Tena kuna mengi acha tu, kuna siku alikuita eti wewe ni mdogo wake yaani nilijifanya sijui kusoma nikamuomba yule tolu anisomee. Sikuamini na hata wewe ukitaka unaweza kujifanya huamini ili maisha yaendelee maana aunt yangu mimi sipendi kabisa kumkosea
Binamu asanteni sana kwa kunipa kaka jamani mbarikiwe sanaaa
 
Muziki: Nipe Nikupe

...najihisi kukosa kitu na sijajua ni nini, naamini nikishakusalimia Kapuku wewe unayepafanya hapa kuwa sehemu nzuri kuwepo nitakumbuka. Sababu ni moja tu, nitake nini hapa nikose, nitapata mengi, nitajifunza mengi sababu hapa kuna watu 'exceptional' wa tofauti wanaotofautiana kwa mengi na tofauti hizi ndo zinalifanya jukwaa hili kuwa la kipekee. Asante wewe unayekuja hapa na kutuongezea ufahamu. Maisha ni kujifunza.

Muziki sasa, nisikuchoshe maana nisijifanye nina cha kuandika ilhali sina nakuacha uburudike na muziki.

Binamu asante
 
...mjomba, nikisema mimi kuwa ni uongo wakati ni kweli alikuita kaka nitaonekana nawafitinisha sasa mimi nakuacha uamini ulichosikia. Tena kuna mengi acha tu, kuna siku alikuita eti wewe ni mdogo wake yaani nilijifanya sijui kusoma nikamuomba yule tolu anisomee. Sikuamini na hata wewe ukitaka unaweza kujifanya huamini ili maisha yaendelee maana aunt yangu mimi sipendi kabisa kumkosea
Yaaaan ndo ule usemi wako napouonaa umuhimu wake ..wivu ninao ila roho inasita ...

Ntafanyajeeee sasa binamu
 
Back
Top Bottom