Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Wawili kwa maana ya kusema ccm na chademaNasiki sikia watu wakiisema eti ni aina ya soda, ila yenyewe ni tamu kama asali, eti ukitaka kuila uifaidi vyema, uile mkiwa wawili
Tunafurahi kusikia hivyoMungu mwema niko salama
Naona umeanza kazi yako we tulia nimnyoshe kijana analeta dharauHutaki vipiii na wameshakubaliana acha mambo za mwaka 47
Tunafurahi kusikia hivyo
Eti m and kWawili kwa maana ya kusema ccm na chadema
Aua mwanaume na mwanamke
Usiingilie mapenzi ya watu utapata aibu wenyewe wameshapendanaNaona umeanza kazi yako we tulia nimnyoshe kijana analeta dharau
Hajui watu tumezaliwa tukiwa na jeuri
HapanaNilikufananisha na ABJ
nikajua amebadili ID
Ameanza kumtetea ndugu yake tena eti mi naleta mambo ya kizamaniAfadhali umeshuhudia kaka
ha ha ha haaaa aiseee"" sawa brother " ngoja niwe mpole nitafanyaje mie ilhali mpini umeshika wewe...lawama zangu zote nazipeleka kwa hackers maana ndio waliosababisha "" mpaka mimi na wewe ""Mimi sijawahi kukwama pembejeo hata siku moja
Maana nafanya mandalizi mapema nikisha vuna akiba ndio nakula
Siwezi kula mtaji
Wajinga tu ndio wanakula mtaji
Huo mwamala mtumie yule bibi wa jirani yenu pale nilipita akaniambia hammjali kabisa kama vile sio jirani yenu
ha hahaaaaNilikufananisha na ABJ
nikajua amebadili ID
Nawahi dawa boda nataka kurudi Tanzanian nikamwambie mdogo wangu asiolewe na mhuni huyuUnaenda wap kaka ake
duuuhh " shemeji naona umeniganda kama rubaWewe huwezi kuwa shemeji maana naona hufanyi kazi unataka upate hela ya ukuwadi wakati unajua ni kosa kukuwadia
Tunaweza kupata picha yake?Eti m and k
afadhali useme wewe "" madame ""daaahh Jamaa ana roho ngumu "" kama muonja sumu ""Hutaki vipiii na wameshakubaliana acha mambo za mwaka 47
Dadake naona unafanya kazi ambayo ni ngumu kuimaliza we tulia tu maana usije kuunganishwa kwenye hii kesiUsiingilie mapenzi ya watu utapata aibu wenyewe wameshapendana
Sawa Mkuu lete mpya yaliyo yili huko ulikoHapana
Wivu tu achana nao endelea na mbebez wakoafadhali useme wewe "" madame ""daaahh Jamaa ana roho ngumu "" kama muonja sumu ""