Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Ukikunja Ngumi Hufikiri Sawasawa


...kufikiri ni mchakato/ process na si jambo linalohitaji nguvu ya mwili zaidi (physique-tamka fiz-eek) bali utambuzi, nguvu ya kuchambua mambo na zaidi nguvu ya akili timamu. Ninakusalimia Kapuku mwenzangu na kukwambia tu it is almost Furahiday.

Siku nyingi sijaandika mengi hapa, naweka muziki tu na kuacha muziki uongee, si unamkumbuka Hamza Kalala na kile kibwagizo chake cha eee mamama tunakula miziki' ndo nilikuwa nafanya. Na huu ulikuwa ni ushauri wa anko wangu Lyon Lee ambaye kwa kweli amekuwa kwenye wakati mgumu sana kipindi hiki maana ukiacha safari zake za kanda ya kaskazini bado hata huku JF alikuwa akipambana na waandamanaji waliojipanga kimkakati kukaa wanamsifia aunt yangu.

Muziki, niseme tu Makapuku forum ni sehemu nzuri kuwepo na ukisoma kipenegele hiki utajijua wewe ni mtu muhimu namna gani humu Jukwaani.

Thanks Obe
 
...ha hahaha, nilimuona alipokuwa akitoa shoo baada ya kupiga Guinness Milk stout

giphy.gif
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom