Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,168
Kwahiyo unapumzika mpaka kapuku naomba hiyo nyimbo miemarhaba aunt yangu
....nadhani ilikuwa ni weekend, kama sikosei jumamosi au jumapili. Weekend napumzika
Kwahiyo unapumzika mpaka kapuku naomba hiyo nyimbo miemarhaba aunt yangu
....nadhani ilikuwa ni weekend, kama sikosei jumamosi au jumapili. Weekend napumzika
Sema unapumzishwaa
Leo kazi unayo kwelikweliiii...ha hahaha, anko bhana, kupumzishwa haiwezekani, ndo muda wa kutumikishwa na mwili kukongoroshwa
Binamu shikamoo
Halaf kuna siku niliingia humu nikaomba nyimbo hivi hujaona post yangu au vipiii niliomba nyimbo ya tilda ya sweet mother
Leo kazi unayo kwelikweliiii
Wewe na dada yako ndio mtafungua mathread ?Kwahiyo nyaku nyaku wanataka kukunyakua eenh hivi wataanzaje waanze tu watakutana na mathread kila sehemu
Dk zero nakutumia mjumbe nipo nilipo unapojua nipo pa siku muhimu kama leo...leo nimefungulia maana naona hii kwaresma inataka kunikondesha tu, utanikuta hapa kontena pub
Binamu asante sana barikiwa mnooo...hii hapa sasa, furahi weekend aunt yangu.
Mjomba wangu hajambo?
Eeenh hao nyaku nyaku waambie waendelee tuWewe na dada yako ndio mtafungua mathread ?
Kumbe sakayo aliiomba tatizo sifukui makaburi binamu halaf me ni muhenga sio mtoto wa 89
Binamu asante sana barikiwa mnooo
Dk zero nakutumia mjumbe nipo nilipo unapojua nipo pa siku muhimu kama leo
Hapana binamu Tot na Muungano nakumbuka nipo mtoto nimeenda sana kuangalia michezo yao ya kibisa na mijoka yao woiiii nimetaja hiyo midude huku natetemeka naiogopa mm...ha hahahah, ninyi watoto wa siku hizi mmeisoma TOT na Muungano cultural troupe mmeisoma mtandaoni, Sumaku mmemjulia Mizengwe wakati Mandela ya Jangala ndo ilikuwa kila kitu
Na kwako piaAsante kushukuru, uwe na weekend njema
Hapana binamu Tot na Muungano nakumbuka nipo mtoto nimeenda sana kuangalia michezo yao ya kibisa na mijoka yao woiiii nimetaja hiyo midude huku natetemeka naiogopa mm
Binamu kumbe sumaku alikuwa Mandela ya jangala me najua kaibukia mizengwe tu
Boss salama?
Shukrani mtaasisi, leo nimeacha kutafsiri sababu ya weekend [emoji2]Tafasiri Unavyoweza: Hasira Itusaidie, Isiumize
....nilikuwa nikishangazwa sana na namna kamanda mmoja mstaafu wa jeshi la polisi ambaye kila akiongea alikuwa akionesha hasira hata kama taarifa anayotoa ilikuwa ni ya kuelezea jambo la kawaida sana kwenye nchi za kidemokrasia, maandamano. Hasira ni tabia ambayo kila binadamu anayo, wala usijisikie vibaya kuwa nayo, ila ujisikie vibaya pale hasira uliyonayo inakuwa na lengo la kuumiza, kuua na uharibifu kwa mwingine au vitu (hostile aggression). Hii ni hasira mbaya, haikusaidii wewe wala huyo/hicho unachonuia kukionesha upungufu wako. Tafasiri Unavyoweza
Hasira inaweza kukusaidia, ndiyo pale unapoifanya na kuitumia kufikia lengo jema kabisa kama kutia bidii darasani (instrumental aggresion). Hasira ya kufanya kazi kwa bidii, hasira ya kutimiza ahadi ulizoahidi na hasira ya kuwa mwananchi anayewajibika kwa jamii yake. Muangalie mwanajeshi kwa mfano akiwa vitani kwa lengo la kulinda mipaka ya nchi yake, hii ndo hasira unayopaswa kuwa nayo, mwangalie mwalimu anayeadhibu kwa kufundisha uelewe, jiangalie nawe unapojitahidi kufanya kazi kwa bidii kujipatia maisha yenye furaha.
Usiitumie hasira katili/ovu (hostile) popote pale iwe ni moja kwa moja au kificho (indirect aggression- ambapo unakaa kusambaza uongo na fitna kwa lengo la kuumiza au kuharibu taswira ya mtu au kitu). haikusaidii na wala haikufanyi ukaonekana una ujasiri au wewe ni wa kipekee zaidi inaonesha kuwa wewe ni mtu asiyekamilika, una mapungufu na si afya kwako na kwa wanaokuzunguka. Onesha tabia ya hasira inayojenga, na wala si kuwa chanzo cha kuleta utengano, onesha hasira yenye kuleta utangamano kwenye jamii. Tafasiri Unavyoweza
Uwe na weekend njema. Tukutane wakati mwingine tena. Nakupenda Kapuku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...kumbe unayajua na majoka yale basi nimeacha, lol! Unastahili kuingia kwenye kundi la mafundi, ndo maana anko wangu hageuki kila akijidai kujipapatua anarudi, mwanzoni nilidhani ni dawa kumbe roho ndo mwamuzi.
Anko wangu Lyon Lee burudika na hiki kibao