Makapuku Forum

Makapuku Forum

Naam,Niko hapa binamu ule msala ulioniachia sio poa
Ulitaka mwenyewe nikusindikize tandika kwa wahaya afu ulipopata ulichotaka ukasepa bila kulipa ila mi nikaona isiwe acha nikulipie tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Binamu leo umetekwaaa dadeeekiiii huyooo ndo husna ashakwendea kwa mganga . .uko nilipakachaaa niko da safaris kuna kamrembo hapa kijichi alafu wewe ujue ilikuw twende kwa mama mchuchu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Binamu leo umetekwaaa dadeeekiiii huyooo ndo husna ashakwendea kwa mganga . .uko nilipakachaaa niko da safaris kuna kamrembo hapa kijichi alafu wewe ujue ilikuw twende kwa mama mchuchu
Binamu hv huyo mama mchuchu ndio nani!? Anakaa wapi? Au ndio kinikia jipya hilo umeopoa?!
 
Back
Top Bottom