Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
AhahahaaaHapa nakutafutia pa kukutua
AhahahaaaHapa nakutafutia pa kukutua
Sema aaminHahaha
Manga
Nilishinda wiki iliyopitaKama unayo nitumie tu au umeshinda biko
Hongera sanaNilishinda wiki iliyopita
Kwa luge mtahaba si panamfaa??Ahahahaaa
Kwa luge mtahaba si panamfaa??




hapo hapana aisee namtetea Dada angu
Atafaidikaa na fursahapo hapana aisee namtetea Dada angu
Unataka kumuwuwa sina sikia et aliunganishwa na grid ya taifa?Kwa luge mtahaba si panamfaa??
Hapana anaenda kufwa huko hata kama kuna fursaAtafaidikaa na fursa
Ngojaa ajee
Hamna wa kukufwa ujue ShunieDaaah ila sakayo mbaya wewe ujue nawaza vingi sana hivi ujue unaweza kutuulia mtu hapa hapa tunamuona acha niendelee kuagiza naona akili za heinken
LabdaUmekwazika tu hiyo ni kwa muda utatulia
AkuuuSema aamin
Ha ha haa ni mgumu kufwa wewe hayaHamna wa kukufwa ujue Shunie
Ni mgumu kishenzi
Ahahhahah eti ni mgumu hao wa hivyo wanakufwa kimoyo moyo bora yule anayejionyeshaHamna wa kukufwa ujue Shunie
Ni mgumu kishenzi
AkuuuuKwa luge mtahaba si panamfaa??
Nawasoma mjue