Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
AhahahhhHahaha
Bora lingekuwa jike nngeliibia bwana
Siwezi rudi tenaSema upumzike au ubadili id kujiondoa milele unatudanganya vile hatutojua
Ndio hapo niliposema Lee hapajui ulivyoongea tu hivyo nimejua wewe sio leeHapana alafu mm nimemanisha pale karibia na home sio huku kituon kabisa
Yerewiiiiiiii kwa hiyo ni kuondoka sio kuja ???bichwa lako natakiwa niondoke ata sasa hivi basi tu
Watu hawajui kila kitu ni uamuzi huwezi ondoka jf kwa niniii ukiamua umeamuaSiwezi rudi tena
Nasubiri bando langu liishe nileft
Mchango ntumie ninywe MaltaEwaaaa tutakutana huko halaf hivi yale mambo yalipita au vipi ujue sikusomi kabisaaa ya mchango
Huo ugomvi sasaau kakutana na shemale
Ngawe kwa dangote hebuNakugawa bureee kabisaaa
Mmh ujue unachanganya madesa kuja yupo amekujaYerewiiiiiiii kwa hiyo ni kuondoka sio kuja ???
Hapa nategemea zawadi amaizing
@frijiiii najibebeaaa mimi
NdiwooooAhahahhh
Huko nshamgawa shunieNgawe kwa dangote hebu
Sikusomiiiiii natumaje mchango unywe Malta una niniii lakiniMchango ntumie ninywe Malta
AhahahhhhHuo ugomvi sasa
KabisaaaWatu hawajui kila kitu ni uamuzi huwezi ondoka jf kwa niniii ukiamua umeamua
Dangote wangu akugawe kwa mwingineNgawe kwa dangote hebu
Hahahahahah umeonaa ningelijichangnya ningelitokaa ndukiiiiiiMmh ujue unachanganya madesa kuja yupo amekuja

Ewaaaaa ndio mana nakupenda mimiHuko nshamgawa shunie
YaaaanKabisaaa
Saivi hata kuchangia nyuzi ni nongwa