...niko serious aunt, kama hujui nguvu ya utani kwenye misiba basi hujawahi kuhudhuria kikamilifu. Msiba unatisha lakini kuna maisha lazima yaendelee hata kabla ya kuzika. Najua ninachoongea, nimefiwa na nitafuata njia hiyo hiyo maana makaburi hayaja-jaa hata nilie kwa kugaragara
jamii zetu ndo zimekuwa zikiishi namna hii, kwa hiyo usidhani siumizwi na msiba na hasa nikijua kabisa kuna wategemezi wameachwa. lakini, je tuendelee kulia tu na kuvaa viatu bila kuvivua, na je si inapendeza kabla ya kuvaa viatu uvae soksi au mwenzetu hunukagi miguu
Mada ngumu hizi najua wengi hatupendi humu Makapuku