...ehe, umesahau kila siku nasema kuwa mimi ni kijana sana mwenye mambo ya kizee, yaani ukija kunitembelea mida ya kula uje na msosi wako na kinywaji hapa utafaidi maji tu na makochi ya leather. Nina makochi ya leather kama nilisahau kuwaambia
...ehe, umesahau kila siku nasema kuwa mimi ni kijana sana mwenye mambo ya kizee, yaani ukija kunitembelea mida ya kula uje na msosi wako na kinywaji hapa utafaidi maji tu na makochi ya leather. Nina makochi ya leather kama nilisahau kuwaambia