...basi alipopotea na wewe ukapotea nikajua hicho kiporo kinapashwa kwa heater. sasa mbona wewwe umewahi kurudi, au kiporo kilikuwa kichache cha fasta tu
...ngoja kwanza, si tulielewana tusiharibiane, maana nikimuita shemeji tu mara Husna anaanza maswali na ni bora nikaenda kuchukuliwa maelezo polisi, yeye ananiswalisha na kunipima mkojo
...basi alipopotea na wewe ukapotea nikajua hicho kiporo kinapashwa kwa heater. sasa mbona wewwe umewahi kurudi, au kiporo kilikuwa kichache cha fasta tu