Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mama nakusalimia![]()
![]()
![]()
Kha ...
Mama nakusalimia![]()
![]()
![]()
Kha ...
Usiku mwema kwako pia. Njozi njemaZABURI 4
8 Katika Amani nitajilaza na kupata usingizi mara,Maana wewe , BWANA peke yako,ndiye unijaliaye kukaa salama.
USIKU MWEMA MBARIKIWE![]()
Hivi safari si ndo ulisema utatukodia bomberdia
Anko sio anti yako huyuu?? Mwandiko mlazo kama wakeUsiku mwema kwako pia. Njozi njema
Ushauri wa bure: Ni vizuri kukojoa kabla ya kulala, unaweza kukojoleshwa ndotoni
Ushauri huu umetolewa na anko wangu, unajua kabisa mimi siwezi kukuandikia mambo haya
Muhimu ntachaji simu yangu mapema na kuchemsha mihogo ya kulia kwenye meza ya bomba dear...yeah, mjomba wangu mkubwa si hamumuoni humu, kenda Canada kufuatilia bombadia, sasa hivi kaimiss sana Tanzania kwa hiyo miss Tanzania, akirudi hatoimiss tena Tanzania
Mzima ?UbarikiweMama nakusalimia

Mmmh...ObeUsiku mwema kwako pia. Njozi njema
Ushauri wa bure: Ni vizuri kukojoa kabla ya kulala, unaweza kukojoleshwa ndotoni
Ushauri huu umetolewa na anko wangu, unajua kabisa mimi siwezi kukuandikia mambo haya

Niko poa kabisaa...nafurahi umeupenda huu muziki, leo nasikiza nyimbo za zamani enzi hizi 'toto halijui hata kuvaa mini skirt, ni mwendo wa magagulo na nyanya pensi'.
Uko poa lakini wewe
Mmmh...Obe![]()
![]()
....usigune, sio mimi! Mimi wajua kabisa kwako siwezi kuandika mambo yatakayonitoa maana ushindwe hata kunipa hi

Zaburi 143 Muziki: Miaka Miwili Twajikongoja
...kuna wakati huwa najiuliza kuhusu Tanzania yetu ilivyokubwa na maswali yanazidi nikija hapa na kukuta wewe kapuku mhesimika ambaye nachukua nafasi hii kukusalimia sana na usijesema sikumbuki kuwa kwa siku mbili sijakusalimia na sina hakika ninaweza kukusalimia mara mbili kufidia siku ambazo sikukusalimia wewe unayelifanya Jukwaa hili kuwa bora zaidi ya majukwaa mengi humu. Ujue nini, wengine wakipita Jukwaa hili hawaachi kujikwaa na hii ni kwasababu wewe uko humu. Asante sana.
Leo nitaiangalia zamani, si zamani sana maana muda unakwenda hata jana inaweza kuwa zamani na ukitaka kuijua nguvu ya zamani basi kumbuka yote yaliyokufanya unyongee moyo na kama hujaamua kuamka na kuendelea kwa kuyafanya somo basi zamani itakuumiza sana kila wakati. Rais wetu katimiza miaka miwili mjengoni na anaendelea, hapa kazi tu. Kusheherekea miaka miwili ya urais, anko wangu akaandaa sherehe bhana, ujue anko wangu yeye kila tukio lazima alitafutie sababu ya kufurahia. Maisha ni kufurahia, kwani nani hapendi kufurahia. Anko akaniambia nisiache kuja kwenye sherehe kutakuwa na ugeni. Nikapiga mahesabu kama ugeni basi sherehe itakuwa kubwa maana aunt yangu kwa kuandaa madikodiko hajawahi kutuangusha. Kufika eneo la tukio namuona anko na mrembo wa kimanga, kutizama simuoni aunt. Nikajiongeza akili zangu maana haya mambo ya ukoo, nikatambulishwa na kasi ya vinywaji ilivyokuwa inakuja sikupenda hata kujua aunt yangu mnayemjua yuko wapi.
Muziki, hebu tujikongoje na tufurahie maana maisha yafaa nini kama hatufurahi na kuwafanya wanaotuzunguka wafurahi

Ahsante mama mchuchu...Zaburi 143
11 Ee BWANA, unihuishe kwa ajili ya jina lako, Kwa haki yako unitoe roho yangu taabuni;
12 Kwa fadhili zako utawakatilia mbali adui zangu; Na kuwaangamiza wote wanitesao nafsi, Kwa maana mimi ni mtumishi wako.
Huu wimbo dedication kwa kikongwe wangu popote ulipo dunian, japo sikujui.![]()
![]()
![]()
AsiyejulikanaMorning how are you Bless UMorning wananzengo!!

Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa Majeshi Asante kwa Upendo wako na kutuamsha tukiwa wazima na Afya njema,wapo watu wengi walitamani kuiona siku ya leo Baba hawajaweza ,tunatoa Sifa ,Shukurani,Heshima na Utukufu kwa Neema hii.
