shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Naongea na wewe shemelaShemela unaongea na mm au unaongea na simu
Naongea na wewe shemelaShemela unaongea na mm au unaongea na simu
Niniiii sasaThubutuuuuu
Marahabaaa shemela hujamboShemela hayo yanatoka wapi jamaan itikia salaam yangu kwanza
Niniii tena si yameisha shemelaNaongea na wewe shemela
Shemela baadayeSawa sawa
Leo niko songwe steraitNzuri kabisa, habari za soko matola hapo
Ili watu watafute pa kukimbiaaNiniiii sasa
Sawa shemela wangu upo kanyigo au lushotoShemela baadaye
Shemejiii maneno ya kulana binadamuWewe shemela unaushahidi gani kama hatukulani
Hivi naanzaje kukimbia mimi shemIli watu watafute pa kukimbiaa
Yaan mjue hii avatar ya baba d nikitaka kumjibu mtu najisahau namuona Baba D huyu hapa kuna najisahau kama I'd yangu nahisi labda nimehuck ya baba d
Mi sio padiri ila swala la binadamu kulana ndo tatizo naomba ufafanuzi kidogo hapoKwani we padriiii
Maneno ya shunie hayoShemejiii maneno ya kulana binadamu
Mnamaanisha nini
Aiseeeeee![]()
![]()
![]()
![]()
Hata mie inanchanganya, wakat mwingine najua ni lee, mwanzon ndio kabisa nilikiwa najua ni lee, mpaka unapoandika maka, ndio najua ni wewe




nilijua ni mm peke yangu inanichanganyaNipo maeneo ya sinza darSawa shemela wangu upo kanyigo au lushoto
Tupo wengiiAiseeeeeenilijua ni mm peke yangu inanichanganya
Sawa dadakeZimefika asante
Veep shem jamaan huyo wa mikoa huyo niliyotaja ujue