Makapuku Forum

Conclusion ni hivi.. ukisoma vizuri phyisics, expansion of material.. costant "K" inaexpand..inakuwa kubwa yaani

Sio mim, ni physics wakina galileo, newton, einsten, faraday etc ndio wameleta balaa hilo..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni kweli chief K inategemea na matumizi au kitu kinavotanuliwa (expansion) ...na ukubwa wa K yaani constant uko directly proportional na matumiz halisi ya utanuzi (japo baadhi ya vitu vinatakiwa viwe constant

Physcs raha sana
 
Ni kweli chief K inategemea na matumizi au kitu kinavotanuliwa (expansion) ...na ukubwa wa K yaani constant uko directly proportional na matumiz halisi ya utanuzi (japo baadhi ya vitu vinatakiwa viwe constant

Physcs raha sana
Proportionality costant.. ila upanuzi ukizid elasticity limit inakuwa plasticity..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji524]YEREMIA 1:19 NAO WATAPIGANA NAWE ;LAKINI HAWATAKUSHINDA:MAANA MIMI NIPO PAMOJA NAWE ,ASEMA BWANA, ILI NIKUOKOE

MBARIKIWE[emoji7][emoji7][emoji7]
[emoji123] [emoji123] [emoji123] hakika maadui hawana nafasi Bwana yu pamoja nasi
 
Proportionality costant.. ila upanuzi ukizid elasticity limit inakuwa plasticity..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahahaha sasa chief ikifikia hatua hiyo si ndo inakua kama kudumbukiza chozi baharini make wanasema hapa ata ufanye modifications zipo haiwezi kurudi katika hali yake ya mwanzo K inazidi kuwa kubwaaa kubwaaaa yaaan mpaka kwenye four figures huionii....

Apo namba 4 chief utaomba pooo hasa kwa wewe unayejifunza kwa majirani
 
Hahaa... Chiz we naona umeamua kushuka kabisa kuonesha msisitizo..

Y=kx
Where k ni factor ya proportinality..

Dah, arif nimemiss kusolve solve
 
Apo chief ndo unanifanyia wazungu wakiitacho not fair ...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mshikaji wangu husna unataka anione nimeona maono yake ??
Hapo nahisi nimefanya kile kitu kwenye soka tunaita fairplay..

Maana kwa mzaramo yule kujiongeza, kumaanisha visivyomaanishwa..[emoji23] [emoji23] mie simo chief [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hapo nahisi nimefanya kile kitu kwenye soka tunaita fairplay..

Maana kwa mzaramo yule kujiongeza, kumaanisha visivyomaanishwa..[emoji23] [emoji23] mie simo chief [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Chief niachie amani na mshikaji wangu make anko obe akijua bhasi ishakua nongwa

Tufanye hivi tuendelee kushikana bega mpaka hiyo constant K tupate muafaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…