Makapuku Forum

nimekupata sana mambo ya ndondo cup tu kwahiyo unajibadilishia tu kama nguo leo upo na bonge kesho na portable
Iko hv napiga ndondo, hapa kuna wale ma x wanaomisi show, na wengine wengi wenye kupenda huduma lakin niko mkweli kwao sina mapenz juu yao zaid ya kustarehesha miili yenu.. a lot of bitchz uraiani.. kwahyo sikosi game.. ukiwa mchezaji mzur hukosi ndondo za hapa na pale, napata games as if nimeoa...
 
Asanteeeee maka ujue nimevuta picha tu jinsi gani ulivyo
 
...ndondo unapigiaga pale kwenye studio karibu na ukumbi wa Maracana au kakala?, au ndo mambo ya kujisogeza mbugani pale Serengeti?
Hahaa.. kakala duh, we kigamboni umeionja kidogo, ila sipigi huko.. hizo tena sio ndondo..

Ukija kigamboni utaelewa mzunguko wa kwichi kwichi yangu..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…