Chukua faida za tende mwilini, jumlisha na maziwa hamna la ziada labda utamu wake unanikosha, napenda ladha yake.
Katika quraan 16:66 maziwa yametajwa kama ndio kinywaji bora
Wakati bi maryam anajifungua nabii issa alioteshewa mtende, mtume pia alikuwa anapenda tende
Mengine ni maneno ya watu tuu