Makapuku Forum

Binamu wewe si hukutaka nijueee ....na mm nimetonywa na kilichotokeaa jana kabla ya kuingia nimejuzwaaa....

Hivi ukija kukatwa mapanga kijijin nasemajeee

...mbio zangu mapanga hayafai labda mishale. Ila anko unatisha yaani isingekuwa ile kinga ya babu sasa hivi sijui ungekuwa umeshanasiana mara ngapi? yaani kanda ya kaskazini hunasuki kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…