...acha tu binamu, yaani imebidi nivae kabisa na nimechomekea vizuri kujieleza kwa mahabuba, laaziz wangu Husna na nimejipulizia pafyumu ya gift of zanzibar ili maelezo yangu yanukie fresh
....lol! nani? mie huyu nianze kuongelea mambo ya shanga, no way! Me habari zangu ni kuwa nikitoka Lindi namletea zawadi kipenzi changu wa moyo, anajua na ulimwengu mzima unajua.
me na Tumosa hatuna ugomvi kama paka na mbwa wanaokaa nyumba za jirani
....lol! nani? mie huyu nianze kuongelea mambo ya shanga, no way! Me habari zangu ni kuwa nikitoka Lindi namletea zawadi kipenzi changu wa moyo, anajua na ulimwengu mzima unajua.
me na Tumosa hatuna ugomvi kama paka na mbwa wanaokaa nyumba za jirani