Makapuku Forum

leo wanakufa hao villareal sio wa mzaha
Gane dk 90
Halafu nasikia bingwa wa Europa League atakuwa anacheza Champions League
Sina uhakika kuhusu hii ishu
.. ..............
 
raha ya kibanda umiza ni kupeana presha tu mala piga haooooo
 
Gane dk 90
Halafu nasikia bingwa wa Europa League atakuwa anacheza Champions League
Sina uhakika kuhusu hii ishu
.. ..............


ndio anacheza uefa mana sevilla alichukua akapanda uefa

mkuu bitoz leo bwawa la main linateketea goli nyingi sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…