Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
Binamu kwani hiyo pole ilikuwa yako...asante mpenzi wangu.
![]()
au furaha ya kuwekwa kwa avatar niwekee eloko oyo mie
Binamu kwani hiyo pole ilikuwa yako...asante mpenzi wangu.
![]()
au furaha ya kuwekwa kwa avatar niwekee eloko oyo mie
Mzima kaka wa kwangu za weweDada wa kwangu mimi mzima?
Binamu kwani hiyo pole ilikuwa yako![]()
au furaha ya kuwekwa kwa avatar niwekee eloko oyo mie
Mi mzima nilikuona uchochoro fulani, nikaona hapa ndio panafaa kukusalimu usiku mwemaMzima kaka wa kwangu za wewe
Asante sana kaka wa kwangu mimi usiku mwema na kwakoMi mzima nilikuona uchochoro fulani, nikaona hapa ndio panafaa kukusalimu usiku mwema
Asante binamuMuziki: Kuwashwawashwa, Jikune
Habari za muda huu Makapuku waheshimika, natumaini siku yenu imeenda vizuri kabisa na kwa sasa wale wapenzi wa soka, yeah, futbol , nawaongelea wapenzi na mashabiki wa UEFA, leo ndo msimu unaanza. Ha hahahahaha, najua shululu ukisikia uefa unajihisi kupoteza macho maana mechi zenu za Futuhi ni kesho kutwa. Hapa banda umiza ninapoangalia mpira wameweka TV mbili, moja kuwaangalia aseno na nyingine kumwangalia buraza K.
Kauli nyingine bhana zinafurahisha sana, well, inawezekana ukadhani nimesahau kukusalimia wewe mpenzi msomaji wa kipengele hiki. Sijasahau, salamu ni jadi yetu na mara zote kusalimiana ni jadi ya muungwana. Uliisikia kauli ya mheshimiwa tuliyempa dhamana ya kuhakikisha tunayopenda kibinafsi hatuyafanyi ili kujenga jamii iliyo angalau sawa, eti kuwashwawashwa. wataachaje kuwashwawashwa ikiwa unadhani wewe ndo mwalimu wa imla, unasoma tu na kututaka tuandike, ukiruka nukta au coma tukiwashwa lazima tujikune. Hutaki wajikune punguza upupu.
Muziki sasa, tumwangalie Kidumu leo tena maana nimejisikia tu kukusikilizisha sauti nzuri
Binamu ukimaanisha hauniwekei au usinifanyie hivyo binamu...hiyo pol haikuwa yangu, sema tu nilikuwa najikuna. Nina muwasho sehemu binafsi.
Najua nisipokuwekea huu muziki utawashwawashwa sana, sasa nakupa nafasi ya kujikuna
Binamu kwani hiyo pole ilikuwa yako![]()
au furaha ya kuwekwa kwa avatar niwekee eloko oyo mie

Binamu asante sanaaaaa ila nimecheka sana kwenye kende kuwashwa na mba ujue binamu serious natamani kukujua ujue anko wako tu jamaanMuziki wa Mdhamini
Hivi fungus ndo MBA? Sio MBA ile digirii bhana usiharakie kujibu, naongelea zile ndude zinatokea kwenye mwili ukijikuna ngozi inatoa unga.
Kwa jinsi ya kiume tunajua kabisa utamu wa hizi mba maana zikikuwashawasha ngozi za kende basi kuna utamu fualni amazing na sio agonizing unaousikia. hata mbele za kadamnasi wallah unaweza kujikuta unatia mkono na kupekechapekecha.
Muziki wa mdhamini kwetu wote unadhamini wa na shangazi yangu asiyependa shanga a shangaa Shunie
Mnanivuruga jamaan
Binamu ukimaanisha hauniwekei au usinifanyie hivyo binamu
Nimeshaweka muziki, sasa ni ruhusa kujikuna tu kama huyu hapa mdau nimekutana naye
![]()






Binamu asante sanaaaaa ila nimecheka sana kwenye kende kuwashwa na mba ujue binamu serious natamani kukujua ujue anko wako tu jamaan
Binamu ebu bwana kwahiyo we unanijua me sikujui auha hahahahaha, mbona tunajuana sana aunty yangu wewe! Haya majina tu ya kwenye JF, utani wangu ni kwenye kuandika tu na si kwenye kuongea. Si niliwaambiaga humu kuwa mimi ni DZ, mmesahau