Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Swali zuriPuchu ndio nini tuanzie hapo
Swali zuriPuchu ndio nini tuanzie hapo
Akaaaa usinisingizie tafwazaliMuulize mpendwa we binamu juzi alilitumia hill neno shem wane
Juzi jamaa si uliliongelea kuhusu mambo yaliyotokea kwenye story au nitafute huko juu mpendwa wa binamuAkaaaa usinisingizie tafwazali
Acha urongo weeAkuje ajibu juzi nilimsikia ndio nimeiga

Nishasahau kwa kweliJuzi jamaa si uliliongelea kuhusu mambo yaliyotokea kwenye story au nitafute huko juu mpendwa wa binamu

Mpendwa wa binamu hii story jaman mbona ina mambo ya kikubwa hiviii jaman![]()
Huyu mtunzi ndio zake sometimes huwa natamani nisiweke![]()
![]()
![]()
![]()
Km hapo anapoomba mkia nilitamani niparukee
Mpendwa wa binamu![]()
anawafaa wapiga puchu
![]()

shem nyagei umeamini sasa
Ahahhahah ila me nimelitoa kwakoAcha urongo wee
Mi hili neno ndio kwaanza naliona Leo
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwangu imekataa kabisaSi nimetuma tena shemela jaman
AmenMume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.
Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.
Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu![]()
WAKORINTHO 7:3-5
MUWE NA MCHANA ULIO MWEMA KWENU![]()
![]()
Mmh shemela unatumia tekno wereva auKwangu imekataa kabisa
ImegomaUifanye icheze
Jibu jeSwali zuri
Natumia LenovoMmh shemela unatumia tekno wereva au
Kweli shemela nimeona inakataaa sijui shida nini na sio kwako tu koteNatumia Lenovo
Hapo sawa shemelaKweli shemela nimeona inakataaa sijui shida nini na sio kwako tu kote
Ngoja nimezeee hiiMume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.
Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.
Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu![]()
WAKORINTHO 7:3-5
MUWE NA MCHANA ULIO MWEMA KWENU![]()
![]()
Kwani me nakunyima jaman Baba DNgoja nimezeee hii
Unataka nijibu hapaKwani me nakunyima jaman Baba D