Huku kwema kaka, tumeanza kupambana na siku ya leo kutafuta riziki.Salama kabisa mkuu Rogie
Kwema huko?
Kumekucha salama kabisa mzee wa peremendeKumekucha salama ....
Cc JimenaNani analetaa fyokofyokoooo hapa ....
Tuwe na siku njema
Niko poa kabisa sema majina hayo yananikosesha aman kwenye familiaKumekucha salama kabisa mzee wa peremende
Yes my name