Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Nimefurahi tuMbona cheko kuubwaa Husna?
Nimefurahi tuMbona cheko kuubwaa Husna?
Asanteee ShangaziWANAWAKE WENZANGU INAWAHUSU
Kukosea ni sehemu ya maisha ,usijilaumu kwa lolote ulilowahi kukosea kwenye maisha hatujaumbwa kuwa sawa muda wote
Ndio maana hata Mungu hutusamehe na ameweka njia za kumuomba msamaha
Muhimu ulipojikwaa ukaumia pakariri vizur ili usijikwae tena,,lakin pia jua wewe kama mwanamke ni jasir kuliko hata mwanaume
Ndio maana hata wakigombana mwanaume na mwanamke mwanamke anaweza samehe na akaendelea na maisha yake ila sio mwanaume huwa wagumu sana kusamehe
Mwanaume anaweza kimbia nyumba yake yenye watoto akaenda kufanya starehe zote ila sio mwanamke ,,jua wewe ni kiumbe jasir na ukiamua unaweza
Wanawake tunabeba mengi wanaume hawawez kubeba,,ndo maana tunazaa kwa uchungu ila tunazaa zaid ya Mtoto mmoja ye anabaki kung'ang'ania Mtoto apewe jina la baba Ake na ubin uwe Wa baba Ake kwakuwa Wa najua kabisa connection ya Mtoto kwa mama ni kubwa kwake ni jina tu
Sasa kwa nini hausimam na ukawa shujaa kila mahali?
Hehehe muda utaamua.Weee .....mtakula five leooo
Unapenda kucheka eeh?
Karibu tena auntieAsanteee Shangazi
Taja wewe dau..Wanakufaje kwa mfano Rogie ebu tuwekeane dau
Ahhaha ngoja nifikirieTaja wewe dau..
Unajua Husna uache uchokozi.![]()
labda anataka kuvumbua dhahabu
Ookaysana jaman ndio nilivyo
Haya nakungoja.Ahhaha ngoja nifikirie
Mwambie atapimwa kojo husna hajui mtu akiwa mchochezi kinachofuata kupelekwa kwa mkemia mkuuUnajua Husna uache uchokozi.
Hujambo mjukuu wangu.... Mbona umeficha uso... Nini tena?Babu shikamoo


Uamuzi tu babu me sijambo sijui weweHujambo mjukuu wangu.... Mbona umeficha uso... Nini tena?![]()
Kwakweli aandae kabisa mkojo.Mwambie atapimwa kojo husna hajui mtu akiwa mchochezi kinachofuata kupelekwa kwa mkemia mkuu
Pengine ni umaarufu ndio unawatia uchiziAibu kubwa sana ya chumbani yanabaki chumbani basi tu sijui ni malezi na kutofundwa yaan huwa sielewi mie
Wewe tu.niweke dau lipi dogo dogo au nyingi nyingiii