Makapuku Forum

Ha ha haaa ndugu/bwana/prof shemeji.. nitafanya upembuzi yakinifu kwa kuwa ni dhahiri sasa nipo kwenye mpango mkakati wa kurasimisha hili suala ili kukabiliana na changamoto za Milenia!
Unatakiwa uniite hiv..Eng jambilo.
 
Ha ha haaa ndugu/bwana/prof shemeji.. nitafanya upembuzi yakinifu kwa kuwa ni dhahiri sasa nipo kwenye mpango mkakati wa kurasimisha hili suala ili kukabiliana na changamoto za Milenia!
Hivi lile jumba lenye kumbi 2 za disco ghorofani Tabora mjini laitwaje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…