AiseeKumekucha salama na makapuku. ...siku nyingine tena ijmaa hiyooo...
Soon UF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya leo kali aiseeKumekucha salama na makapuku. ...siku nyingine tena ijmaa hiyooo...
Soon UF
Shemela [emoji3]Aisee
Na kwako shemela wanguUsiku mwema makapuku wote Mungu awalinde
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Na kwako shemela wangu
Ila unajuaa nilipoooBaba D mbona story fupi sana jaman
UF sasa hiviShemela [emoji3]
Jamani si kumekuchaaa ??Usiku mwema makapuku wote Mungu awalinde
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya leo kali aisee
Baba D basi ujue nilisahau nisamehe tu jamanIla unajuaa nilipooo
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ni kweli siku nyingine hiiJamani si kumekuchaaa ??
Kumekucha shemela tar 28 leoUF sasa hivi
Hapana sio kazi yanguAhahhah wamemaanisha wewe kazi yako shem ujue
AiseeAhahha mmu huko kwenye uzi mmoja wa watu aliweka mapicha ya matusi
Nitaondoa dhana ya kutokuamini na kuwa ya kuaminiIli ugundue nini shem ukishahakiki
Kwani yupo humu huyo king wako?
Madame S[emoji23][emoji23][emoji23] nimejisikia aibu tena ndio kanifukuza humu kabisa
Madame S
Point yako nimeijua mtaasisi [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ngoja niende kwenye jukwaa la chini yaani hakuna anayejua mlalo wa kususiwa.
Tutaonana baadaye