Bwana asubuhi utaisikia sauti yangu, asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia
Maana huwi Mungu apendezwaye na ubaya mtu mwovu hatakaa kwako
Wajivunao hawatasimama mbele ya macho yako unawachukia wote watendao ubatili
Utawaharibu wasemao uongo Bwana humzira mwuaji na mwenye hila
Bali mimi kwa wingi wa fadhili zako nitaingia nyumbani kwako na kusujudu kwa hiko nikilielekea hekalu lako takatifu
ZABURI:5:7
Natawakia asubuhi ili njema sana mbarikiwe sana