Monaco nao,,Monaco wamesema wanataka pauni milioni 55 kumuuza winga Thomas Lemar, 21, ambaye anasakwa na Arsenal. (Daily Star)
Real Madrid hawawezi kumtoa aiseeManchester United na Arsenal huenda wakapambana katika kumsajili winga wa Real Madrid Marco Asensio, 21. (Don Balon)
Hatoki huyoChelsea wataongeza bidii katika kutaka kumsajili kiungo wa Arsenal Alex Oxlade-Chamberlain, 23, wiki hii ingawa huenda wakakabiliwa na ushindani kutoka Manchester City. (Express)
Chaplin niajeHabarini za mchana wapendwa wa familia bora ya KF
Aisee
Mtag unayemjua
Mimi alitaka kung'oa mke mkubwa akashindwa wakaishia kuwa babuMy Lee..mzima mydear?
Hebu nisaidie..huyu rafiki yako mzeewakungoa anang'oaga nini hasa?
Niko poaaaMzee wa peremende za jioni
Ni kungoa na si kung'oaHii ID onakuponza sana
Mdau kama hautojali badili username
Samtaimu mtu unapata utani wa kunitakia tu
....
Waaaaaaaoooooh my mke asante kwa chakula ya rohoNeno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu
Nimeapa nami nitaifikiliza, kuzishika hukumu za haki yako nimeteswa mno
Ee Bwana unihuishe sawasawa na neno lako Ee Bwana uziridhie sadaka za kinywa changu na kunifundisha hukumu zako
Nafsi yangu imo mkononi mwangu daima lakini sheria yako sikuisahau
watendao uovu wamenitegea mtego lakini sikuikosa njia ya mausia yako
Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele maana ndizo changamko la moyo wangu
Nimeuelekeza moyo wangu nizitende amri zako daima naam, hata milele
Zaburi 119:105:11
Mungu azidi kuwabariki muwe na mchana mwema
Shemela za weweAisee huyu dr asha vipi tena jamaan anavyompekua hivyo anatafuta nini na huko kumsikitikia mmh sijui ni mchezo gani huo
Baba Asante sana ubarikiwe
Wait and seeHatoki huyo
AmenNeno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu
Nimeapa nami nitaifikiliza, kuzishika hukumu za haki yako nimeteswa mno
Ee Bwana unihuishe sawasawa na neno lako Ee Bwana uziridhie sadaka za kinywa changu na kunifundisha hukumu zako
Nafsi yangu imo mkononi mwangu daima lakini sheria yako sikuisahau
watendao uovu wamenitegea mtego lakini sikuikosa njia ya mausia yako
Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele maana ndizo changamko la moyo wangu
Nimeuelekeza moyo wangu nizitende amri zako daima naam, hata milele
Zaburi 119:105:11
Mungu azidi kuwabariki muwe na mchana mwema
Amedanganya..... Visiki vinataka sururu au grader... Mimi mwenyewe nimezeeka siwezi kupiga sururu wala kuendesha graderKasema Visiki
Kumbe unapenda mume nilijua nitakukwaza hautapenda neno barikiwa sanaWaaaaaaaoooooh my mke asante kwa chakula ya roho
Safi shemela wangu mie baba jj mwenyewe mnaendeleaje jamanShemela za wewe
Wewe Mjukuu Mkwe hutaniwiMimi alitaka kung'oa mke mkubwa akashindwa wakaishia kuwa babu
Barikiwa shemela au niache jaman hampendiAmen