Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji524] Tazama enyi watumishi wa Bwana mhimidini Bwana nyote pia

Ninyi mnaosimama usiku katika nyumba ya Bwana painulieni patakatifu mikono yenu na kumhimidi Bwana

Bwana akubariki toka sayuni aliyezifanya mbingu na nchi
Zaburi 134:1:3 [emoji524]

Muwe na usiku mwema mlindwe na damu ya Yesu kristo [emoji7][emoji7]
 
Back
Top Bottom