Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,231
- 464,523
Eti hawana ushirikiano mke mwee jaman sio maneno yangu ni baba d huyoNi mapacha ndio
Huyo dogo ndo naniii


mke mweee acha ushilawadu dogo wetu mie na mme wangu baba d
Ndo uonee ambavyo binamu wako hakutakii memaBinamu nakuona kivuruge kwenye ubora wako ndio wa kwangu huyo baba d jaman hata akijitetea
Dedication na Wadhamini wa Jumapili
Mida imeenda sasa, tujiandae na wiki hii na iwe yenye mafanikio kwetu sote. Mjomba lee empire kadedicate songi hili kwa Shunie
Na shedede kadhamini Dude hili kwetu sote
Shunie nakupendaa ...ntakupendaBaba D ujue umenitoa machozi kwa hii nyimbonakupenda lee wangu ulipo nipo Mungu azidi kuniwekea we mkaka jamaan Nakupendaaaaa shunie mimi jamaan
Binamu yangu asante sana sana tunakupenda binamu unajua![]()
Sawa mke mweee srudiimke mweee acha ushilawadu dogo wetu mie na mme wangu baba d

Unamtakaa ??Huyo dogo ndo naniii
Achana naeeemke mweee acha ushilawadu dogo wetu mie na mme wangu baba d
Namjua Baba D binamu mimi hanisumbuiNdo uonee ambavyo binamu wako hakutakii mema
Nitakupenda siku zote za maisha yangu Baba D wangu mimi apaShunie nakupendaa ...ntakupenda




lee wa shunie
Usirudie tena mke mwee nitakushtaki ujueSawa mke mweee srudii![]()
![]()
![]()
Tazama enyi watumishi wa Bwana mhimidini Bwana nyote pia

