Makapuku Forum

Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi

Asiuache mguu wako usogezwe asisinzie akulindaye.

Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi yeye aliye mlinzi wa Israel.

Bwana ndiye mlinzi wako, Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume jua halitakupiga mchana wala mwezi wakati wa usiku.

Bwana atakulinda na mabaya yote atakulinda nafsi yako.
Bwana atakulinda utokapo na uingiapo Tangu sasa na na hata milele

Zaburi 121:1:8


Muwe na mchana mwema mbarikiwe sana
 
Ubarikiwe shemeji nawe pia uwe na mchana mwema..!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…