Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,569
Teh teh teh kumbee wee kajanja haya mimi kesho ndo ntaendaOhoooo hiyo kazi mi siiiwezi ila ulizia tu utafika

Teh teh teh kumbee wee kajanja haya mimi kesho ndo ntaendaOhoooo hiyo kazi mi siiiwezi ila ulizia tu utafika

Kweli aisee anajitahidi sana sanaIla mbududa anajitahidi kwa kweli
wahenga walisema subira yavuta kheri
Kwanza hata cjui uko wapi afu mi cjui kukuelekeza ila mi napitiaga barabara ya kutokea ikulu moja kwa moja mpaka agakan then huko mbele unaiona coci beach iko pembeni ya barabaraTeh teh teh kumbee wee kajanja haya mimi kesho ndo ntaenda![]()
![]()
![]()
Anastahili pongeziKweli aisee anajitahidi sana sana
Wacha wee kwa raha zakooonimejimalizia mie
Woiiiii nimeisoma season 7 yote nimeimaliza jana kajitolea msamalia mwema kunipa Mungu ambariki tuWacha wee kwa raha zakooo
Ha ha haaa location hazijiwi humu kama kuna jirani hapa atani mark.Kwanza hata cjui uko wapi afu mi cjui kukuelekeza ila mi napitiaga barabara ya kutokea ikulu moja kwa moja mpaka agakan then huko mbele unaiona coci beach iko pembeni ya barabara
Nigee na mie banaaWoiiiii nimeisoma season 7 yote nimeimaliza jana kajitolea msamalia mwema kunipa Mungu ambariki tu
Kweli mke mweeewahenga walisema subira yavuta kheri
Mungu ambariki jamaaniIla mbududa anajitahidi kwa kweli
Nigee na mie banaa




nimeambiwa na msamalia mwema nisisambaze la sivyo hatanipa season 8
We si umesema utakuja keshoHa ha haaa location hazijiwi humu kama kuna jirani hapa atani mark.
Haya mimi ntapita hii ya sarenda mna anzia kwenye mihogo au?
AmeeenMungu ambariki jamaani