Anapenda bangi kupitiliza kila mtu na chaguo lake hongera zake aisee9/Calvin Cordozar Breadus JrAnajulikana kama Snoop Dogg
Ana tabia kibao za kikorofi pia ana watoto kibao...jamaa anapenda bangi kupitiliza
Ana umri wa miaka 42
Anaingiza mkwanja kutokana na biashara zake nje ya muziki ikiwemo kampuni ya filamu iitwayo Wash and Bones,pia ana kampuni ya mavazi n.kAna utajiri unaofikia USD 110 milioni
........
Shemela umeanza uchochezi unanicheka kibonge mie vaa hivyo swimming coast uchekeshe walionununa tumbo kule[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woiiiiPozi la Ray
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.....
Nimefurahi tu shemela, sio kwamba ni ubongeShemela umeanza uchochezi unanicheka kibonge mie vaa hivyo swimming coast uchekeshe walionununa tumbo kule
[emoji3][emoji3][emoji3]najua shemela ulichocheka we si mchochezi umepata picha ya kibonge mama d na baba d na kitambi chake yaan jaman Mungu ana maksudi yake kutukutanisha vibonge sieNimefurahi tu shemela, sio kwamba ni ubonge
Hivi ni huyu ndio ana mtoto wake nae ni mwanamuziki7/Percy Robert Miller[,/b]Anajuliksna pia kwa jina la Master P alikuwa akijishughulisha sana na uprodyuza
Huyu ni Master P na siyo yule adui wa Zay B aitwaye Sister P
Ana biashara kibao
Pia anatoa hisani ya chakula kupitia P Miller Food Foundation
Ana umri wa miaka 44
Utajiri wake ni USD 170 milioni
...........[/b][/b]
miaka 26 mm mdogo eeehUmekubali sasa kama we mtoto mondray samahani lakini usije ukapanick bana
[emoji119] [emoji119] [emoji119][emoji3][emoji3][emoji3]najua shemela ulichocheka we si mchochezi umepata picha ya kibonge mama d na baba d na kitambi chake yaan jaman Mungu ana maksudi yake kutukutanisha vibonge sie
Mmh umefikia hiyo kweliimiaka 26 mm mdogo eeeh
Kama nakuona [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vibonge oyeee[emoji119] [emoji119] [emoji119]
Ndio nimefika muulize ChaplinMmh umefikia hiyo kwelii
Asantee nilijua nimechanganya
Yeah
....
ayaNdio nimefika muulize Chaplin
Pozi la Ray
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.....
Itakuwa kamaniisha ray vanny wa wasafiRay Gani huyoo Madengee
8/Kanye Omari WestAbapendelea kujiita Yeezus
Ana umri wa miaka 36
Ndiye kidume wa Kim Kardashian na baba mzazi wa North West na pia wana mwingine na haitarajiwi kuongeza kutokana na matatizo ya kiafya ya Kim
Anaingiza pesa kutokana na mikataba aloyosaini na makampuni makubwa kama bile Nike,Adidas na Louis Built on
Pia anajishughulisha na biashara kibaoAna mkawanja unaokadiriwa kuwa USD 110 milioni
..........